
Wakati wa sikukuu ndio huu unakaribia hivyo tunawaomba na kuwakumbusha wananchi kuwa msiache kutoa msaada walau hata wa kilo moja ya mchele kwa familia zenye uhitaji maana tumehimizwa sana kwenye vitabu vitakatifu kutoa fungu la kumi, hivyo baada ya kwenda kupata bia tuwakumbuke ndugu zetu hawa. ASANTENI NA MUNGU AWABARIKI.
No comments:
Post a Comment