CONTACT US: Mobile : 0755 484866 EMAIL : socialworkertz@yahoo.com
Wednesday, May 12, 2010
TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE
DAH! SASA SIJUI KAWEKEZA NANI HAPA, thubutu kusema chochote tangu Uhuru mpaka leo umeme bado ila vikwangua anga wamejibunia vya asili. alafukesho twa ambiwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.
It's not like wa2 wanavyodhani....!!! kama mimi ambaye nimezaliwa DSM cna hata chembe cha maisha ya kjjn but kwa pcha hiyo.....!!!! hata huko kumbe kuna vberiti...?? Ila kuna ki2 cjakisoma sawa sawa hiyo pcha ni ndogo ama ni kubwa it means nyumba ya kuishi m2.....???
It's not like wa2 wanavyodhani....!!!
ReplyDeletekama mimi ambaye nimezaliwa DSM cna hata chembe cha maisha ya kjjn but kwa pcha hiyo.....!!!! hata huko kumbe kuna vberiti...??
Ila kuna ki2 cjakisoma sawa sawa hiyo pcha ni ndogo ama ni kubwa it means nyumba ya kuishi m2.....???