CONTACT US:

CONTACT US:
Mobile : 0755 484866
EMAIL : socialworkertz@yahoo.com

Thursday, April 14, 2011

UJUMBE WA LEO


Watanzania wenzangu mmeyaona matokeo ya kura za chuki kwa kuchagua wabunge wasio na hekima na busara ya kujua wanachokifanya na kuheshimu nafasi zao na dhamana ya uwakilishi tuliyowapa.Hili kwetu liwe dalasa kwa kuona kilichojiri jana bungeni na kukichukulia kama ni aibu kubwa

IMETUMWA NA MDAU Gabriel Gregory Ishole

No comments:

Post a Comment