utafiti ulio fanywa na blog hii umeonyesha kuwa wafanyakazi wengi wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa toka kwa mabinti wanao waajiri kwa lengo la kuwasaidia kazi. hivyo nawe kama una mkasa, sheshe au habari yeyote juu ya wafanyakazi wa kazi za nyumbani tuandikie kwenda socialworkertz@yahoo.com
No comments:
Post a Comment