Kampuni ya msama promotion imetoa sehemu ya mapato yaliyotokana na tamasha la pasaka lililo fanyika jijini Dar es salaam,baadhi yametumika kusaidia wajane 25 wasio jiweza na kusomesha watoto yatima katika mikoa ya Dodoma,Tabora,shinyanga.
Kama watanzania wote tutaiga mfano wa msama promotions tutasonga mbele.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
No comments:
Post a Comment