CONTACT US:

CONTACT US:
Mobile : 0755 484866
EMAIL : socialworkertz@yahoo.com

Tuesday, January 10, 2012

UNAMUAMINI YUPI ZAIDI?



Unaowaona pichani,wote ni wanasiasa.Wote ni vijana.Nape Nnauye(kushoto katika picha) ni Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM )anayesimamia Itikadi na Uenezi.Kulia ni Mh.John Mnyika(MB) ambaye ni Mkuu wa Habari na Uenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA). Kazi zao zinafanana.Wanaongea na sisi tunawasikiliza.Wanaeneza itikadi na kunadi sera za vyama vyao.

Lakini suala la siasa ni imani.Unaamini kwamba anachokisema yule ni cha kweli na anayo dhamira nzuri kuhusu maendeleo yangu. Sasa wanaposimama hawa wawili kuongea,unamwamini yupi zaidi? Ni kitu gani kinachokufanya umwamini zaidi huyo unayemwamini? Tungependa kupata maoni yako.
Kwa habari zaidi bofya.
NB: Vipima joto hivi vya BC,ni sehemu ya kuhakikisha kwamba viongozi na wananchi wanajua wapi wanaposimama au wanapobidi kusimama kila wakati na sio wakati wa uchaguzi tu.

No comments:

Post a Comment