CONTACT US:

CONTACT US:
Mobile : 0755 484866
EMAIL : socialworkertz@yahoo.com

Wednesday, January 4, 2012

Zachayo S. Shigongo. Atoa somo juu ya majanga yanayoendelea kutokea Tanzania


Baraka pamoja na wote wenye fikra kama zako:

Kuwa Social Worker au kusoma Social Work siyo mchakato wa kuwa kila mahala na kuwa 'kimbele-mbele' wa kukimbia huku na kule kufanya kila kitu. Tatizo na wahanga wa majanga hapa Tanzania la kutopata huduma ipasavyo na kwa haraka ni matokeo ya ubabaishaji au kutojua cha kufanya kwa watu waliopewa dhamana ya kuratibu mwasuala ya majanga na wala siyo la Social Workers kutoonekana kwenye runinga wakitoa 'vijimisaada' ambavyo wengi wanaofanya hivyo hutumia furusa hiyo kujinadi mbele ya camera za waandishi wa habari ili kupata sifa binafsi au kutangaza taasisi/asasi/kampuni zao.

Remember:

1. It is a fallacy to think that standing in front of journalists is equal to working/helping. Most people do that for show up, but serious workers/helpers, in most cases, accomplish thing not even wanting to be recognize. So, when you don't see social workers on front pages of news papers and/or on TVs; don't assume that they are not working/helping. Social Work can never be everywhere. After all they are overwhelmed as we all know that almost everybody in Tanzania is looking upon them to get help.

2. In Disaster Management (if you learned it well); social workers are just part of the Disaster Management Team, with specific roles to play and responsibilities to accomplish which can never be accomplished by other professionals.

Zachayo S. Shigongo ni Mkufunzi wa Chuo Cha Ustawi Wa Jamii.

No comments:

Post a Comment